tajwa ingawa habari hazijathibishwa maana wasanii wengi nchini Marekani wamekuwa wakisusia kushiriki katika kumuunga mkono bwana Trump kwa sababu ya vuguvugu la uchaguzi na maandamano yaliyokuwa yakiendelea nchini Marekani mara baada ya Trump kutangazwa mshindi.
Kanye West na Andrea
Bocelli wamekuwa wakidhaniwa kushiriki katika kutumbuiza siku ya kuapishwa rais
wa Marekani bwana Donald Trump. Baadhi ya wamarekani wamekuwa wakisema hasa
wale wanaomuunga mkono rais wan chi hiyo kuwa mwanadada huyo atawaunganisha
wamarekani wote na kurudisha mshikamano wa siku zote licha ya makundi kutokea
mara baada ya uchaguzi hasa upande wa Bi Hillary. Tunawatakiwa mema wamarekani
wote hasa wanapokuwa wakisubiri kuapishwa kwa rais wao mteule.
Mtazame chini hapa huyo
binti akiimba.
No comments:
Post a Comment