Saturday, 17 December 2016
Mkongwe wa Soka Ibrahimovic Alivyo Wachosha Wachezaji wa West Bromwich Kwenye Uwanja wao
Zlatan Ibrahimovic (35) ameendelea kuing'arisha timu ya Manchester United baada ya kusuasua sana kwenye ligi kuu ya uingereza.
Ibrahimovic ameifungia timu yake ya sasa (Man U) magoli mawili yaliyopatikana katika dakika ya 6 na 56 na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli mawili kwa nunge. Mahojiano yaliyofanyika na kocha wa manchester united Jose Morinho amesema kuwa timu yake imecheza vizuri na anahukuru tu kwamba wanaendelea kuongeza pointi katika msimamo wa ligi. Morinho alipoulizwa kuhusu Zlatan alisema anafurahi kwamba anafunga na wameongeza pointi na kufika nafasi ya tano katika msimamo wa ligi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment