Habari motomoto zilizojili hivi punde kutoka kila kona ya Dunia

Tuesday, 24 January 2017

Video: Hotuba ya Rais Magufuli na Rais wa Uturuki jana Dar es salaam

Serikali za Tanzania na Uturuki zimesaini mikataba 9 ya ushirikiano wa kimaendeleo katika nyanja za Afya, Usafiri wa Anga na Viwanda. Rais Endorgan
amualika Rais Magufuli kufungua ubalozi nchini Uturuki.


Amemuomba kusaidia kutokomeza watu waliotaka kumpindua madarakani.

Zaidi, tazama hii video ya hotuba zao



No comments:

Post a Comment