Habari motomoto zilizojili hivi punde kutoka kila kona ya Dunia
Showing posts with label Michezo. Show all posts
Showing posts with label Michezo. Show all posts

Monday, 27 November 2017

Gatuso Ateuliwa kuwa Kocha wa AC Milan


Timu ya AC Milan imemtimua kocha Vincenzo Montella na badala yake imempa usukani Gennaro Gattuso kukisimamia kikosi cha kwanza cha timu hiyo.

Sunday, 19 November 2017

Yanga Wamchapa Mbeya City Bakora 5



Katika hali isiyo ya kawaida Mbeya City Club imezibuliwa goli tano bila majibu na

Dr. Shika Atumika Katika Tangazo la Kampuni Ya SokaBet

Dr Shika maarufu kama mzee wa inapendeza Mungu amemfungulia milango na kujikuta akiingia mkataba na kampuni ya kubet, mshuhudie hapa kwenye video




Sunday, 29 January 2017

Simba azama topeni




SIMBA jana ilijiweka kwenye wakati mgumu wa kuendelea kuongoza msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom Bara baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Azam.

Wednesday, 11 January 2017

WACHA MANENO WEKA SIMBA KAUA YANGA UWIIIIIII





KAMA ingekuwa ni muziki wa msanii wa kizazi kipya Darasa ungesema wacha maneno weka muziki lakini kwa vile ni mpira, unaweza sema wacha maneno weka Simba kaua Yanga.

Friday, 23 December 2016

Orodha ya Fifa: Argentina yaongoza duniani, Senegal yawika Afrika





Taifa la Guinea-Bissau ndio taifa lililofaidika sana katika orodha mpya ya shirikisho la soka duniani Fifa mwaka 2016 baada ya kupanda nafasi 78 tangu Disemba mwaka uliopita.

Thursday, 22 December 2016

Ligi Kuu Tanzania Bara Kuendelea Kesho Tarehe 23 Desemba 2016



 LIGI kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea tena kesho  Ijumaa kwa mchezo  Na. 129 utakaozikutanisha timu za African Lyon na Young Africans kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam  utakaochezeshwa na Mwamuzi, Ludovic Charles kutoka mkoani Tabora akisaidiwa na John Kanyenye wa Mbeya (Mshika Kibendera Na. 1) na Alnord Bugado wa Singida (Mshika Kibendera Na. 2), Mwamuzi wa Akiba – Mezani anatarajiwa kuwa Israel Nkongo kutoka Dar es Salaam.

Uhamiaji Yazipiga Marufuku Simba, Yanga na Azam Kutumia Wachezaji wa Kigeni



Serikali imevipiga marufuku Klabu za ligi kuu Tanzania hususani Simba, Yanga na Azam kuwatumia wachezaji wa kigeni mpaka watakapokamilisha taratibu zao za uhamiaji.